Monday, October 22, 2007

so sorry my readers

Dear My esteemed readers, am so sorrt for my long quitwness, this is due to some intensive program i have at my college. i PROMISE you to have so exciting and interactive moment here in my blog
with regars
Tanzanian Rant

Monday, September 17, 2007

Nichek kwa makini- nikiona vipi narudi South au sio bwana?



Ndo maana yake , kimtindo bongo michosho ona nilivyoiva kwa Madiba

Ona mazingiara ya wenzetu


Hapa kwetu ni uchafu kunuka, luk here so beutifully pls guy lets learn from our freinds
Cheers

Du mshikaji bongo ni noma......

Hellow
guys am back home, jamani lazima niseme baada ya kurudi kutoka bondeni aambapo nilikaa kwa muda wa wiki mbili sasa ndo nakaribia kutua dia... tobaaa... vijinyumba hivyo? yallaaa kama nashuka porini au rubani kapotea.... au dharau ajisemee Joti wa ze Komedi mimi sijui but.... haya naland DIA, wenyewe tunauita eti " mwalimu nyerere internatinal airport is it?'' just i refer back to Jorberg, then To Port Elizaberth the small town compare to Dar wanao uwanja wa ndege mkubwa tena wa kisasa zaidi ya bongo. Hii si ni aibu kwa taifa hili lenye wasomi na watu zaidi ya milioni 35? Hivi nikuulize Mbongo mwenzangu hawa viongozi serikalini wanafanya nini? Kweli nilitamani nirudi SA nilivyokuwa napokelewa na vijumba- tena visivyo kwenye utaratibu maalum, hayo ndo maisha bora kwa kila mtanzania? nisemenini mie mwana wa Thonya mimi mkakati nilionao muda huu ni kusoma kwa bidii kwani nahisi bongo tunayeyushana.Kila kukicha viongozi wetu wanaenda nchi za nje hivi hata kuiga maendeleo ni shida au ndo mawazomgando.... Kudadadeki.
Ok nikizipata nitakuwa kama Ndesanjo nakaa zangu Ughaibuni nawachora tu wajukuu wa Mwalimu Nyerere.
Ni hayo tu kwa sasa

Wednesday, September 12, 2007

Nami najua kujicomposenzi kwenye picha

Haya ona pozi hilo, nahisi kupozi nami nipo, this mKenyan Lady look fun

Hawa ni wasouth- ni katika msosi now


Thabile na Grorious of SABC tunakata Starter hii bongo hamna hadi Kempiski. Sasa South kama home nina offer ya nyumba, msosi na usafiri hadi Cape Town from this friend of mine.

check-shia hapa wakifanya vitu


Ona mtu wangu hawa mafiki zolo walivyojiachia, usipime nilikuwa kama sijiamini vile. Kama kawa nikaingia stejini kudansi nao

Hapa tukitumbuizwa na Mafiki zolo Live


Jamani Bondeni kuna raha haya huu ukumbi unajibadilisha kama kinyonga, haya Bongo tutafika lini huku?, au tumwambie Jk nae afanye kama anko Ben alivyotujengea National Stadium nae atujengee ukumbi kama huu. Usipime mtu wangu ni kiboko

Tuesday, September 11, 2007

TAMWA- mmeyasikia haya?

Ni siku ya pili tangu mkutano mkubwa unaojulikana kama Highway Africa Conference 2007 uanze hapa Grahamstown, ambapo katika kipindi cha pili wanamama mashujaa walipangua mada za washiriki ambao walitaka kujua nini haswa maana ya Gender.

Kwa kweli kama ungekuwepo kwenye ukumbi wa Eden Grove Red, usingesita kuwaita mashujaa kwa jinsi walivyoweza kuzijadili haswa hoja za wanaharakati mbalimbali ambao kwa mlengo wangu naona walikuwa ama hawaoni umuhimu wa kuwa sera za jinsia kwenye taasisi za habari.

Kristin Palitza- huyu ni mwenyekiti wa GEMSA - hii ni taasisi ya masuala ya jenda ambaye ALITOA OVERVIEW ya Professionalism in the Newsroom; the gender Dimension.
Ama kwa hakika huyu mama ameshiba katika eneo hilo lakini maswali ya wasikilizaji yaliniacha hoi kwani, nawanukuu "wanaowagandamiza wanawake ni wanawake wenyewe..."

Wanawake ni walezi wa watoto kwanini hawaoni ulazima wa kuwafundisha watoto atittude za kuwa gender sensitive tangu wakiwa wadogo? Wanawake hao hao ndio chanzo kikubwa cha maendeleo yao wenyewe, chukua mfano inapofikia uchaguzi wa nchi or whereve... haya what is gender and sex? kwanini kama wanawake wanazungumzia maswala ya gender, mbona hakuna mwanaume kwenye panel ya watoa mada kuonyesha usawa, hahahaaaaaaaaaa.

Ni hayo tu kwa sasa

Monday, September 10, 2007

Nilipokutana na Ndesanjo na Ngurumo


Hapa panaitwa Olde 65 Rhodes University, Grahamstown, Afrika Kusini, Septemba 9, 2007. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana na waandishi hawa wawili wa Tanzania.

sikiliza sauti hii ufike

Ndugu
Huhitajiki kuwa na elimu ya PHD....Masters... Au BA. kupata ujuzi na maarifa, siipingi elimu la hasha hapa ninataka kukwambia unahitaji msukumo wa kuthubutu na atittude ya kupenda kujifunza mambo chanya. Nasema Chanya kwa nini kwa sababu Sisi watanzania tumekua hatutumii nafasi mbalimbali za kujifunza kwa kutumia mitandao au wenzetu walio nchi mbalimbali nakualika sasa rafiki tumia nafasi hii elimika.

Saturday, September 8, 2007



















Some building are must


EAC team with king Mswati,,,, Mbongenyi


You know what here is a fun moment in the bus when this `King Mswati" Mbongenyi join EAC Team

its better to learn to take photo sometimes


photo story

yebooo

Wednesday, September 5, 2007


This qouted from My Country Wow SO good

creativity into toilet


Can you imagine when you get into the Africa Media Matric Toilet you will find this......

Having some funny discussion with eac team

hey Carol This is Not Nairobi we just at Grahamstowns Baby


i mean here


Some building are must

some picture are must, so you can understand what other do down there, i mean Madibas CountryYebooooo

Jaime Ubisse closely with Furaha


Ubisse seems to be so close with Tanzanian lady, he works with Corrcio de Manha( Daily Morning Newspapper in Mozambique.

arond Rhodes Municipality


hey chech the chick around Rhodes
reall funny with digital journalism Training in SA

Hellow Men, here with Mbong'enyi from Swaziland, Call him King Mswati hahahaaaaaaa