Wednesday, September 12, 2007

Hapa tukitumbuizwa na Mafiki zolo Live


Jamani Bondeni kuna raha haya huu ukumbi unajibadilisha kama kinyonga, haya Bongo tutafika lini huku?, au tumwambie Jk nae afanye kama anko Ben alivyotujengea National Stadium nae atujengee ukumbi kama huu. Usipime mtu wangu ni kiboko

No comments: